SIFA ZA FUNDI CCTV CAMERA

 Ubora wa fundi



Ili uwe fundi mzuri wa CCTV camera yakupasa uwe umeimarika ktk nyanja kuu mbili YANI ujuzi wa umeme na I.T(Information technology).


CCTV camera Kwa ujumla wake imebeba ujuzi wa umeme aina mbili YANI umeme wa Tanesco(A.c current) na Umeme wa D.c current.


Mambo ya msingi ya kujua ktk umeme ni namna umeme wa Tanesco(A.c voltage) unavobadilishwa na power supply na Kisha kua DC current ili umeme huo ukatumike ktk DVR/NVR,CCTV CAMERA,SWITCHES N.K


Mambo ya msingi ya kujua ktk I.T course ni Networking. Kumbuka camera za IP kwa kiasi kikubwa Zinatumia zaid IP ADDRESS na kwa ujumla elimu hii inapatikana ktk course ya Network Engineering.


Ukiweza kujua mambo hayo hapo juu basi utakua umeimarika zaidi na kuwa fundi mzuri wa CCTV camera.


Tupigie GORDON TECHNOLOGY kupata huduma za kufungiwa CCTV camera ktk duka,ofisi,NYUMBA,hoteli,kiwanda,mgodi na machimboni.

Call/Text/Whatsapp 0746373222.


Pia tunapatikana mitandaoni

Facebook page; Gordon technology 

Instagram; gordon_technology


Tuna ofisi Mwanza na Dar es salaam lakini pia mikoani tuna mafundi wanaofanya kazi zetu kwa wakati mkoa wowote ulipo.

Comments

Popular posts from this blog

VITASA VINAVYOTUMIA FINGERPRINT,CARD,PASSWORD AU APP YA SIMU.

FUNDI WA FENSI ZA UMEME(ELECTRIC FENCE).

TAA YA SOLAR ILIYO NA CCTV CAMERA.